Washambuliaji Marcus Rashford wa Manchester United na Harry Kane wa Tottenham Hotspur wakipongezana baada ya wote kuifungia England katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Kosovo kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Fadil Vokrri mjini Pristina. Kane alifunga dakika ya 79 na Rashford dakika ya 83, wakati mabao mengine ya 'Simba Watatu' yalifungwa na Harry Winks dakika ya 32 na Mason Mount dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Lampard makes shock admission about his second stint as Chelsea boss
as he opens up on the state he found the club in under its current ownership
-
The Blues were struggling in the early days of their new ownership
following Todd Boehly and BlueCo's takeover of the club in spring 2022 -
purchasing it f...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment