Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Ufaransa bao la pili kwa penalti dakika ya 79 ikiilaza Moldova 2-1 katika mchezo wa Kundi H kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Kiungo Vadim Rata alianza kuifungia Moldova dakika ya tisa kabla ya Raphael Varane kuisawazishia Ufaransa dakika ya 39 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi 22 wakiendelea kuongoza Kundi H wakifuatiwa na Uturuki yenye pointi 20 baada ya wote kucheza mechi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kylian Mbappe reveals Cristiano Ronaldo gives him 'a lot of advice' as he
admits it's 'very special' to equal Real Madrid legend's debut season goal
tally after brace against Leganes
-
Kylian Mbappe has revealed that he often receives words of advice from
Cristiano Ronaldo while expressing his pride at matching the amount of
goals the Por...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment