Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao pekee la ushindi dakika ya 45 na ushei ikiilaza 1-0 Atletico Madrid katika mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juve sasa wanaizidi pointi sita Atletico Madrid, ambayo italazimika kuminyana na Bayer Leverkusen kuwania kuingia hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment