Dejan Lovren akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 65 ikitoa sare ya 1-1 na Napoli iliyotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 21 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa matokeo hayo, Liverpool inaendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi zake 10, ikifuatiwa na Napoli pointi tisa, Salzburg saba na Genk yenye pointi moja inashika mkia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Andrew Flintoff has become England's talent finder for their bid to
regain the Ashes Down Under, writes RICHARD GIBSON
-
RICHARD GIBSON: The sight of Andrew Flintoff mingling with county
cricketers highlighted the increasing influence of one of the sport's most
recognisable f...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment