Dejan Lovren akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 65 ikitoa sare ya 1-1 na Napoli iliyotangulia kwa bao la Dries Mertens dakika ya 21 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa matokeo hayo, Liverpool inaendelea kuongoza kundi hilo kwa pointi zake 10, ikifuatiwa na Napoli pointi tisa, Salzburg saba na Genk yenye pointi moja inashika mkia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher sends stern warning to Enzo Maresca after Chelsea manager
moaned about having the 'worst 48 hours' as Blues boss - and claims he
'won't be there next season'
-
Jamie Carragher had an ominous warning for Enzo Maresca after the Chelsea
boss cryptically described the 48 hours before their victory against
Everton on S...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment