Beki wa zamani wa Manchester City, Danilo akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la tatu dakika ya 60 ikiilaza Jamhuri ya Korea 3-0 katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Mohammed Bin Zayed mjini Abu Dhabi. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Lucas Paqueta dakika ya tisa na Philippe Coutinho dakika ya 36, huo ukiwa ushindi wa kwanza kwao tangu Julai mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment