Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Juventus kwa penalti dakika ya 90 na ushei baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Antonio Sanabria kwenye boksi katika ushindi wa 2-1 dhidi ya 2-1 kwenye mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juventus walitangulia kwa bao la Leonardo Bonucci dakika ya 36, kabla ya Christian Kouame kuisawazishia Genoa dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Man United's £2bn super stadium master plan: An intimidating Red
Wall of fans, a 24-7 money-making complex... and help from a Man City
season-ticket holder
-
MIKE KEEGAN: Old Trafford has fallen into disrepair. The roof leaks and the
famous old ground has become a relic unbefitting of the world's biggest
footbal...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment