Beki Mgiriki wa Arsenal, Sokratis Papastathopoulos akilalamika baada ya kukataliwa bao lake dakika za mwishoni kufuatia refa Martin Atkinson kutazama marudio ya picha za video (VAR) wakitoa sare ya 2-2 na Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Mabao ya Arsenal yamefungwa na Papastathopoulos dakika ya saba na beki mwingine, Mbrazil David Luiz dakika ya tisa, wakati ya Crystal Palace yamefungwa na Luka Milivojevic kwa penalti dakika ya 32 na Jordan Ayew dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cooper Flagg and Duke punch their ticket to March Madness Final Four in
85-65 demolition of Alabama
-
JAKE FENNER IN NEWARK, NEW JERSEY: Sorry, America. They're good again. They
really are just that good again. Duke is off to the Final Four for the 18th
tim...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment