Marcus Rashford akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 73 ikiwalaza wenyeji, Chelsea 2-1 katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Rashford pia ndiye aliyefunga bao la kwanza la Man United dakika ya 25 kwa penalti, baada ya Daniel James kuchezewa rafu na Marcos Alonso, lakini Michy Batshuayi akaisawazishia Chelsea dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment