Mshambuliaji Muargentina, Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Juventus dakika za 77 na 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lokomotiv Moscow kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Lokomotiv Moscow lilifungwa na Aleksey Miranchuk dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Akpabio: NASS committed to quality education at EKSU convocation
-
Hails EKSU’s giant strides as varsity confers honorary degrees on Senate
Leader, two others at 29th convocation ceremony From Priscilla Ediare,
Ado-Ekiti...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment