Nyota wa Barcelona, Luis Suarez na Lionel Messi wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Messi alifunga dakika ya 58 na Suarez dakika ya 66 baada ya Antoine Griezmann kufunga la kwanza dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Target red-hot Ekitike and Semenyo - FPL team of the week
-
With Manchester City facing struggling West Ham at home this week, it's
time to triple up on Pep Guardiola's side and captain Mr Reliable Erling
Haaland.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment