Mshambuliaji Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Barcelona dakika ya tatu katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Slavia Prague kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Sinobo mjini Prague. Bao lingine la Barcelona lilifungwa na Peter Olayinka aliyejifunga dakika ya 57, wakati la Slavia Prague lilifungwa na Jan Boril dakika ya 50 na Messi sasa amefikisha mabao 113 ya kufunga kwenye Ligi ya Mabingwa sasa akimfuatia Cristiano Ronaldo anayeongoza kwa mabao yake 127 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kylian Mbappe reveals Cristiano Ronaldo gives him 'a lot of advice' as he
admits it's 'very special' to equal Real Madrid legend's debut season goal
tally after brace against Leganes
-
Kylian Mbappe has revealed that he often receives words of advice from
Cristiano Ronaldo while expressing his pride at matching the amount of
goals the Por...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment