Kylian Mbappe (kulia) akishangilia na Mauro Icardi (kushoto) baada ya kuifungia Paris Saint Germain mabao matatu dakika za 61, 79 na 83 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Club Brugge kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel mjini Brugge. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Icardi dakika ya saba na ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment