Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akimrukia Nahodha wake, kiungo Jordan Henderson kushangilia naye baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-1 wa Liverpool dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Henderson alifunga la kwanza dakika ya 52 na Sakah la pili kwa penalti dakika ya 75, wakati bao pekee la Spurs limefungwa na Harry Kane sekunde ya 40 na kwa ushindi huo Liverpool imefikisha pointi 28 katika mchezo wa 10 sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment