KILIMANJARO QUEENS WAKIPASHA UFUKWENI LEO KUJIANDAA NA KOMBE LA CECAFA CHALLENGE
Kocha Bakari Shime (kulia) akioongoza mazoezi ya timu ya wanawake ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Queens ufukwe wa bahari ya Hindi mjini Dar es Salaam leo kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA Challenge Wanawake) inayotarajiwa kuanza Novemba 16 hadi 28 mwaka huu mjini Dar es Salaam.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment