Andrea Belotti akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika za 70 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Liechtenstein kwenye mchezo wa Kundi J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Rheinpark mjini Vaduz. Mabao mengine ya Italia yalifungwa na Federico Bernardeschi dakika ya pili, Alessio Romagnoli dakika ya 77 na Stephan El Shaarawy dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment