Gabriel Martinelli akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika ya 13 na 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Standard Liège kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emrates. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Joe Willock dakika ya 22 na Dani Ceballos dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
You’ve redefined quality leadership – Ignes celebrates Sen Orji Kalu at 65
-
A Chieftain of the All Progressives Congress (APC) in Abia State, Ifeanyi
Ogbonna, popularly known as Ignes, has congratulated the Lawmaker
representing ...
1 minute ago
0 comments:
Post a Comment