Mbrazil Willian akifumua shuti kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 77 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Lille katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Tammy Abraham dakika ya 22, wakati la Lille lilifungwa na Victor Osimhen dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans spot wild Shedeur Sanders error in Stephen A. Smith post saying racism
is behind NFL Draft snub
-
Smith suggested it could do with teams disliking Deion Sanders, Shedeur's
father, and said the situation also reminds him of Colin Kaepernick's
ongoing NFL...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment