Sergio Aguero na Nicolas Otamendi (kulia) wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 wa Manchester City dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Aguero aliyefikisha mechi 350 Manchester City jana, alifunga mabao yake dakika ya 38 na 56 baada ya Otamendi kufunga la kwanza dakika ya 20 kabla ya Jack Stephens kuifungia Southampton la kufutia machozi dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Akwa Ibom retirees urge Eno to address pension delays
-
From Isaac Job, Uyo Retired primary school teachers in Akwa Ibom State have
appealed to the state governor, Pastor Umo Eno, not to allow the issue of
loc...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment