Vinicius Junior akibubujikwa machozi kwa furaha baada ya kuifungia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 36, hilo bao la kwanza kwa ujumla katika timu hiyo tangu Februari katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Osasuna usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real Madrid lilifungwa na Rodrygo Goes dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers show 'character in abundance' to defy Ibrox woes
-
Barry Ferguson hails Rangers' "character" as they keep their "special"
Europa League campaign going by knocking out Fenerbahce on penalties
despite their I...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment