Son Heung-min akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 10 na 23 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Patrick van Aanholt aliyejifunga dakika ya 21 na Erik Lamela dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CHELTENHAM FESTIVAL TIPS - DAY FOUR: Can anyone stop Galopin Des Champs
retaining the Gold Cup?
-
There are seven more races for punters to take in, with 65,000 people set
to pack into the course in total and millions more will follow the action
on TV.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment