MAZOEZI YA MWISHO AZAM FC KABLA YA KUWAVAA TRIANGLE UNITED LEO BULAWAYO
Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akijifua Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo jana kuelekea mchezo wa marudiano wa Raundi ya Pili ya kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Triangle United. Azam FC inatakiwa kushindia kuanzia 2-0 ili isonge mbele, baada ya kufungwa 1-0 Azam Complex Septemba 15.
Mshambuliaji Richard Ella D'jodi kutoka Ivory Coast akijifua Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo jana
Kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' mazoezini jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo
Beki Mghana, Yakubu Mohamed akipiga shuti katika mazoezi ya penalti jana Bulawayo
Beki Mganda, Nicolas Wadada mazoezini jana mjini Bulawayo tayari kwa mchezo dhidi ya Triangle leo
Mshambuliaji Shaaban Iddi 'Chilunda' akipiga penalti mazoezini jana
Beki Mzimbabwe, Bruce Kangwa akiwa mazozini jana mjini Bulawayo
Mshambuliaji Iddi Suleiman 'Nado' akijifua jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo
Kipa Mghana, Razack Abalora akiokoa penalti jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo
Winga Iddi Kipagwile akijifua jana Uwanja wa Barbourfields mjini Bulawayo
McIlroy wins Sports Personality of the Year 2025
-
Rory McIlroy is crowned BBC Sports Personality of the Year for 2025 after
clinching the career Grand Slam and playing a key role in Europe's Ryder
Cup win.
NHL Power Rankings: Every team's biggest wish
-
A No. 1 goalie? Another top-nine forward? Each NHL team could use a granted
wish to improve during the holiday season, even those at the top.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment