Sadio Mane (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, beki Virgil van Dijk baada ya kuiufngia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 28 kufuatia Jetro Willems kutangulia kuifungia Newcastle United dakika ya saba katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Liverpool imeshinda 3-1, mabao yake mengine yakifungwa na Mane pia dakika ya 40 na Mohamed Salah dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CHELTENHAM FESTIVAL TIPS - DAY FOUR: Can anyone stop Galopin Des Champs
retaining the Gold Cup?
-
There are seven more races for punters to take in, with 65,000 people set
to pack into the course in total and millions more will follow the action
on TV.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment