Riyad Mahrez (kulia) akishangilia na Ilkay Gundogan baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 24 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Oblasny SportKomplex Metalist mjini Kharkiv. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Gundogan dakika ya 38 na Gabriel Jesus dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment