Rhian Brewster akimrukia mgongoni mchezaji mwenzake, Ki-Jana Hoever kumpongeza baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Milton Keynes Dons kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa MK mjini Buckinghamshire. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na James Milner dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Livvy Dunne puts injury nightmare behind her as she flies to Alabama with
her LSU teammates
-
Livvy Dunne seemed to have put her injury devastation behind her and looked
to be having a great time as she flew to Alabama on Thursday.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment