Willian akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 76 kufuatia Jorginho kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo huo ukiwa ni ushindi wa kwanza kwa kocha Frank Lampard Uwanja wa Stamford Bridge kwenye ligi hiyo PICHA ZADI GONGA HAPA
Rangers show 'character in abundance' to defy Ibrox woes
-
Barry Ferguson hails Rangers' "character" as they keep their "special"
Europa League campaign going by knocking out Fenerbahce on penalties
despite their I...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment