Kiungo Mreno Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 15, 48 na 60 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na David Silva dakika ya kwanza, Sergio Aguero kwa penalti dakika ya saba, Riyad Mahrez dakika ya 12, Nicolas Otamendi dakika ya 18 na Kelvin De Bruyne dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Livvy Dunne puts injury nightmare behind her as she flies to Alabama with
her LSU teammates
-
Livvy Dunne seemed to have put her injury devastation behind her and looked
to be having a great time as she flew to Alabama on Thursday.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment