// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AUBAMEYANG APIGA LA USHINDI ARSENAL YAICHAPA ASTON VILLA 3-2 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AUBAMEYANG APIGA LA USHINDI ARSENAL YAICHAPA ASTON VILLA 3-2 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Sunday, September 22, 2019

        AUBAMEYANG APIGA LA USHINDI ARSENAL YAICHAPA ASTON VILLA 3-2

        Mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza 3-2 Aston Villa Uwanja wa Emirates leo. Mabao mengine ya Arsenal iliyomaliza pungufu baada kinda wake Ainsley Maitland-Niles kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 41 kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kucheza rafu, yalifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 59 na Callum Chambers dakika ya 81, wakati ya Villa yalifungwa na John McGinn dakika ya 20 na Wesley dakika ya 60 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: AUBAMEYANG APIGA LA USHINDI ARSENAL YAICHAPA ASTON VILLA 3-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry