Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Chelsea dakika za 19 na 43 kabla ya Sheffield United kusawazisdha kwa mabao ya Callum Robinson dakika ya 46 na Kurt Zouma aliyejifunga dakika ya 89 katika sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Enugu: Igbo-Eze North PDP ratifies motion for Mbah’s second term
-
By Sunday Ani The gale of endorsements for Enugu State Governor Peter
Mbah’s second term continued on Saturday as the Igbo-Eze North Local
Government rat...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment