WACHEZAJI wa Yanga SC kutoka kulia Lawrence Mwalusako, mchezaji mwalikwa kutoka Simba, Deo Njohole ‘OCD’, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Ramadhani Kilambo na Wastara Baribari aliyeipa mgongo kamera wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa kirafiki mwaka 1991 dhidi ya timu ya taifa ya Uganda Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 1-1, Njohole akiisawazishia Yanga baada ya The Cranes kutangulia kwa bao la Majid Musisi (sasa marehemu).
Unai Emery is ready to replace Ollie Watkins after leaving him out against
PSG - but here's why Marcus Rashford may not be the answer to Aston Villa's
No 9 conundrum, writes TOM COLLOMOSSE
-
TOM COLLOMOSSE: So now we know. Aston Villa are on the lookout for a new
centre-forward and Marcus Rashford's future is closely connected to their
search.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment