Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 49 kwa penalti na 58 katika ushindi wa Liverpool wa 3-1 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool limefungwa na Joel Matip dakika ya 41 na bao pekee la Arsenal limefungwa na Lucas Torreira dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The inside story of why Virgil van Dijk signed his new Liverpool contract:
Premier League rivals who wanted to sign him this summer NAMED and the
moments that sealed a 'not easy' deal
-
LEWIS STEELE: There was a scene last Sunday which highlighted just why
Virgil van Dijk is the ultimate captain, role-model and ambassador of
Liverpool Foot...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment