Mason Greenwood wa Manchester United akiwa chini kwenye boksi baada ya kuangushwa na Pierre-Emile Hojbjerg wa Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England timu hizo zikitoka sare ya 1-1 leo Uwanja wa St. Mary's 1-1. Hata hivyo, refa Mike Dean hakutoa penalti ingawa dakika ya 73 alimtoa kwa kadi nyekundu Kevin Danso wa Southampton kufuatia kumuonyesha kadi ya pili ya njano. Man United walitangulia kwa bao la Daniel James dakika ya 10 kabla ya Jannik Vestergaard kuwasawazishia wenyeji dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Livvy Dunne refuses to rule out gymnastics return, despite fears
devastating injury ended college career
-
In an emotional post on Instagram, the LSU and TikTok sensation announced
she would be missing her last ever Tigers home meet after fracturing her
kneecap.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment