Gabriel Jesus akimlalamikia refa Michael Oliver baada ya kukataa bao lake la dakika ya mwisho, Manchester City ikilazimishwa sare ya 2-2 na Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Oliver alikataa bao hilo baada ya kutazama marudio ya picha za video (VAR) katika mchezo huo ambao mabao ya Man City yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 20 na Sergio Aguero dakika ya 35 na ya Spurs yalifungwa na Erik Lamela dakika ya 23 na Lucas Moura dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scottie Scheffler reveals the truth behind Rory McIlroy Green Jacket moment
after backlash for 'classless' move
-
As defending champion, the world No 1 had the duty of helping the Northern
Irishman put on his prize for winning the Masters. McIlroy secured an
incredible...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment