Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za 18 kwa penalti na 67 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester. Mabao mengine ya United inayofundishwa na kocha Ole Gunnar Solskjaer yalifungwa na Anthony Martial dakika ya 65 na Daniel James dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta hails 'one of the best nights of my career' after Arsenal
topple Real Madrid - and jokes he 'wanted to SLAP' Bukayo Saka after
Panenka penalty miss
-
ISAAN KHAN AT THE BERNABEU: Arteta lauded a landmark night for Arsenal as
they dethroned the kings of Europe to reach the Champions League
semi-finals for ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment