Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St Mary's. Bao la pili la Liverpool limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 71 kabla ya Danny Ings kuifungia Southampton bao la kufutia machozi dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Enugu: Igbo-Eze North PDP ratifies motion for Mbah’s second term
-
By Sunday Ani The gale of endorsements for Enugu State Governor Peter
Mbah’s second term continued on Saturday as the Igbo-Eze North Local
Government rat...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment