Mshambuliaji Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Burnley leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor huo ukiwa ushindi wa 13 mfululizo kwenye ligi hiyo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Chris Wood aliyejifunga dakika ya 33 akijaribu kuokoa krosi ya Trent Alexander-Arnold na Roberto Firmino dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Livvy Dunne refuses to rule out gymnastics return, despite fears
devastating injury ended college career
-
In an emotional post on Instagram, the LSU and TikTok sensation announced
she would be missing her last ever Tigers home meet after fracturing her
kneecap.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment