Mshambuliaji mpya, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 41 na 50, Barcelona ikiibuka na ushindi wa 5-2 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Carles Perez dakika ya 56, Jordi Alba dakika ya 60 na Arturo Vidal dakika ya 77, wakati ya Betis yamefungwa na Nabil Fekir dakika ya 15 na Loren Moron dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious footy coach Benji Marshall sticks up for the NRL's most
controversial player - but the biggest star on the team slams the
19-year-old
-
Benji Marshall has fired back at claims Wests Tigers players have bullied
five-eighth Lachlan Galvin, after teammates used social media to add to the
pile-...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment