Tammy Abraham akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya tatu na 68 katika ushindi wa 3-2 wa Chelsea dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road huo ukiwa ni ushindi wa kwanza wa kocha Frank Lampard tangu aanze kazi. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Mason Mount dakika ya 17, wakati mabao ya Norwich yamefungwa na Todd Cantwell dakika ya sita na Teemu Pukki dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trent Alexander-Arnold hands Liverpool a major injury boost ahead of
Premier League title run-in
-
The right back has missed the Reds' last four matches, which included a
Carabao Cup final defeat by Newcastle, after being forced off in their
Champions Le...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment