AISHI MANULA AANZA MAZOEZI SIMBA SC IKIJIANDAA KUIVAA UD SONGO JUMAPILI TAIFA
Kipa namba moja wa Simba SC, Aishi Manula aliyekosekana mwezi wote huu kutokana na maumivu akifanya mazoezi mepesi kuelekea mchezo na UD Songo ya Msumbiji katika Ligi ya Mabingwa Afrika Jumapili
Aishi Manula hakuwepo kwenye mchezo wa kwanza Simba ikilazimisha sare ya 0-0 ugenini
Kurejea kwa Aishi Manula ni habari njema kwa klabu yake
Wachezaji wengine wa Simba wakiwa mazoezini uwanja wa Gymkhana
Simba SC inahitaji ushindi wa nyumbani baada ya sare ya ugenini kwenye mchezo wa kwanza
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment