Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao lake la pili dakika ya 55 baada ya kufunga lingine dakika ya 42 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Kevin de Bruyne dakika ya pili na Bernardo Silva dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Neymar suffers injury setback 34 minutes into comeback encounter
-
Neymar Jr. sustained an injury 34 minutes into his comeback match for
Santos in the Brasileirão, as revealed by transfer expert, Fabrizio Romano.
The dev...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment