Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 15 na 64 katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Bournemouth Uwanja wa Vitality. Bao la pili la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 43, wakati la Bournemouth limefungwa na Harry Wilson dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Declan Rice wins battle of England's alpha males: Arsenal's star man
squares up to Real Madrid rival in the Gunners' epic Champions League win
-
England team-mates Jude Bellingham and Declan Rice were involved in a
heated confrontation during Arsenal's Champions League win over Real Madrid
on Wednes...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment