Manny Pacquiao akimuadhibu Keith Thurman katika pambano la raundi 12 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Garden mjini Las Vegas ambalo alishinda kwa pointi na kutwaa taji la WBA uziro wa Super Welter. Majaji wawili walimpa ushindi wa pointi 115-112 Pacquiao, wakati Glenn Feldman alimpa Thurman ushindi wa pointi 114-113 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New York Knicks win NBA Cup after stunning fourth-quarter comeback as
Jordan Clarkson helps spoil Victor Wembanyama's dream of a first title
-
NBAsuperstar Victor Wembanyama was closing in on his first trophy with the
San Antonio Spurs until the Knicks' late comeback turned the game on its
head.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment