Manny Pacquiao akimuadhibu Keith Thurman katika pambano la raundi 12 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Garden mjini Las Vegas ambalo alishinda kwa pointi na kutwaa taji la WBA uziro wa Super Welter. Majaji wawili walimpa ushindi wa pointi 115-112 Pacquiao, wakati Glenn Feldman alimpa Thurman ushindi wa pointi 114-113 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Security guard tackles cricket fan trying to steal stump after Sheffield
Shield final
-
An overzealous cricket fan was tackled to the ground by security on
Saturday at the Sheffield Shield final after he tried to steal a cricket
stump.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment