Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 45 na ushei na 57 ikiichapa 3-0 Scotland kwenye mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels. Bao lingine lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 90 na ushei na kwa ushindi huo Ubelgiji inafikisha pointi 12 baada ya kucheza mechi nne ikiendelea kuongoza kundi hllo ikifuatiwa na Urusi yenye pointi tisa, Kazakhstan pointi sita sawa na Scotland, Cyprus pointi tatu na San Marino ambayo haina pointi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment