Wachezaji wa Aston Villa wakishangilia baada ya kuifunga 2-1 Derby County usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mechi ya fainali ya mchujo wa kupanda wa Ligi Kuu England. Mabao ya Villa inayorejea Ligi Kuu tangu ishuke mwaka 2016 yamefungwa na Anwar El Ghazi na John McGinn huku la Derby County likifungwa na Jack Marriott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tributes pour in for teenage Sydney soccer player who died suddenly after
collapsing during match
-
The family of Sydney teenager Enzo Santiago Alves is in mourning this week
after the young athlete died suddenly following a health event during a
soccer m...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment