Nahodha wa Valencia, Dani Parejo akiinua Kombe la Mfalme baada ya kukabidhiwa kufuatia ushindi wa 2-1 dhidi ya Barcelona usiku wa jana katika mchezo wa fainali Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Mabao ya Valencia yalifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Lionel Messi kuifungia Barcelona bao lake pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hanna Cavinder takes her mind off rumored Carson Beck breakup in 'weekend
of luv' with sister Haley
-
Hanna, who plays for the University of Miami women's basketball team,
sparked breakup rumors by unfollowing Hurricanes quarterback Beck and
wiping any trac...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment