// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SAMATTA ALIVYOKABIDHIWA TUZO NA KOMBE LA UBELGIJI JANA GENK - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SAMATTA ALIVYOKABIDHIWA TUZO NA KOMBE LA UBELGIJI JANA GENK - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Monday, May 20, 2019

        SAMATTA ALIVYOKABIDHIWA TUZO NA KOMBE LA UBELGIJI JANA GENK

        Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta akiwa na tuzo yake ya Mwasoka Bora wa Afrika katika Ligi ya Ubelgiji baada ya kukabidhiwa jana kufuatia sare ya 0-0 na Standard Liege kwenye mchezo wa mwisho wa msimu Uwanja wa Luminus Arena
        Mbwana Samatta akipongezwa jana Uwanja wa Luminus Arena baada ya kupewa tuzo zake
        Mbwana Samatta akishangilia Kombe la ubingwa wa Ubelgiji baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Luminus Arena
        Mbwana Samatta akishangilia Kombe la ubingwa wa Ubelgiji baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Luminus Arena 
        Mbwana Samatta akishangilia na wachezaji wenzake wa KRC Genk baada ya kukabidhiwa Kombe la ubingwa wa Ubelgiji  
        Mbwana Samatta akipiga picha na rafiki yake  Uwanja wa Luminus Arena
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SAMATTA ALIVYOKABIDHIWA TUZO NA KOMBE LA UBELGIJI JANA GENK Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry