RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN ALIVYOSHIRIKI MAZISHI YA TAMIM
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa .Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Mareheme Ali Ferej, aliyekuwa Mwenyekiti wa ZFA yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar leo 19-5-2019,(Picha na Ikulu)
Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga alipofi kutowa mkono wa pole na kuifariji familia ya Marehemu Ramadhan Abdalla Shaban , kijiji kwa Uzini Wilaya ya Kati Unguja leo
Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi na Wanamichezo katika maziko ya Marehemu Ali Ferej Tamim , aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira Zanzibar(ZFA) yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar
Dk. Ali Mohamed Shein, akiwafariji na kutoa mkono wa Pole kwa Familia ya Marehemu Ramadhan Abdalla Shaban, alipofika nyumbani kwa Kijiji cha Uzini Wilaya ya Kati Unguja leo 19-5-2019
Dk. Ali Mohamed Shein, akitoa mkono wa Pole kwa Watoto wa Mareheme Ali Ferej Tamim, baada ya kumalizika maziko hayo yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar
McIlroy wins Sports Personality of the Year 2025
-
Rory McIlroy is crowned BBC Sports Personality of the Year for 2025 after
clinching the career Grand Slam and playing a key role in Europe's Ryder
Cup win.
NHL Power Rankings: Every team's biggest wish
-
A No. 1 goalie? Another top-nine forward? Each NHL team could use a granted
wish to improve during the holiday season, even those at the top.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment