Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment