Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia Paris Saint-Germain bao la kwanza dakika ya 20 ikiilaza Angers 2-1 katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Raymond-Kopa mjini Angers. Bao la pili la PSG lilifungwa na Angel Di Maria dakika ya 58 wakati la Angers lilifungwa na Flavien Tait dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 WCQ: Super Eagles Kigali camp brace up with 12 players
-
By Seyi Babalola Six additional players have arrived at the Super Eagles’
Radisson Blu Hotel camp in Kigali ahead of the 2026 FIFA World Cup
qualifier ag...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment