Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisikitika baada ya kufungwa bao la pili na Valencia katika fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Valencia walishinda 2-1, mabao yao yakifungwa na Kevin Gameiro dakika ya 21 na Rodrigo dakika ya 33 kabla ya Messi kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hanna Cavinder takes her mind off rumored Carson Beck breakup in 'weekend
of luv' with sister Haley
-
Hanna, who plays for the University of Miami women's basketball team,
sparked breakup rumors by unfollowing Hurricanes quarterback Beck and
wiping any trac...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment