Washambuliaji Raheem Sterling na Sergio Aguero wakimpongeza beki na Nahodha wao, Vincent Kompany baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 70 ikiilaza 1-0 Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 95 baada ya kucheza mechi 37 na kurejea tena kileleni mwa Ligi Kuu ikiizidi pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-2 Newcastle: Magpies end 70-YEAR wait for domestic silverware
with stunning Carabao Cup triumph after goals from Alexander Isak and Dan
Burn at Wembley
-
OLIVER HOLT AT WEMBLEY: Some wept. Tears of unbridled joy. Some flung their
hands to the skies, thinking perhaps of loved ones long gone who would have
giv...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment