Bingwa wa dunia wa uzito wa juu duniani, Anthony Joshua (kushoto) akitazamana kimikwara na mpinzani wake, Andy Ruiz Jr (kulia) jana wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari kuelekea pambano lao la Jumamosi ukumbi Madison Square Garden mjini New York, Marekani. Joshua mwenye urefu wa futi sita kwa sasa anashikilia mataji ya IBF, WBA na WBO akiwa na rekodi ya kushinda mapambano yake yote 22, 21 kwa knockout, wakati Ruiz mwenye urefu wa futi nne amepoteza pambano moja na kushinda 32, huku 21 akishinda kwa knockout pia. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment